GEORGE KAVISHE
Tuzo za kilimanjaro Music awards mwaka huu wa 2014 zinatalajiwa kufanyika Tarehe 3 mwezi wa Tano
katika ukumbi wa Mliman City Jijin Dar es salaam. Kurwijira Mereges toka chama cha sana cnhini Tanzania
(BASATA)katoa ushuhuda kwamba maandalizi ya Tukio ilo yameishaanza na kaongeza kwa kusema tuzo izo kwa mwaka huu zitakuwa na mabadiliko makubwa tofauti na miaka iliyopita.Akizid kueleza amesema mwaka huu tofauti na miaka mingine mpiga kura atawezza kumpigia kura msanii anayemtaka aingie katika kipengele cha ushidani kwa kutuma ujumbe mfupi wa SMS, barua pepe na kadharika.In additional Maregesi said ( the number of categories have been reduced to 36 from 37 of last year. The upcoming producer category has been scrapped. He said artists will compete in the 34 categories while the remaining two are reserved for hall of fame awards.).KTMA ni tuzio zinazotolewa na kuratibiwa na kampuni ya Bia (TBL)ikiwa chini ya usimamizi wake George Kavishe kasema lengo la TBL ni kuakikisha Tuzo izo zinakua na kuwa bora zaid.Ameeleza pia kwamba mabadiliko mabadiliko yote yanayofanyika ni kukuza tuzo izo kufikia ngazi za kimataifa na sio kuishia kujulikana ndani ya nchi tuu,alisema Kavishe.


No comments:
Post a Comment